Mistari ya Biblia kuhusu King: Obedience to, enjoined
Mistari kuhusu Obedience to, enjoined
Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.
Usiharakishe kuondoka mbele ya mfalme. Usiendelee kutenda lililo baya, kwa maana mfalme atafanya lolote apendalo.
Kwa kuwa neno la mfalme ndilo lenye mamlaka ya mwisho, nani awezaye kumwambia, “Je, wewe unafanya nini?”
Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika, moyo wa hekima utajua wakati muafaka na jinsi ya kutenda.