Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Keturah

4 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Abrahamu alioa mke mwingine, ambaye jina lake aliitwa Ketura.

  2. Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.

  3. Yokshani alikuwa baba wa Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletushi na Waleumi.

  4. Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.