Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Jezreel

2 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kisha Bwana akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli, kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli.

  2. Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”