Rukia maudhui

Jezreel

3 verses

32.5500, 35.3300 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Jezreel

  1. Watu wa Yosefu wakajibu, “Hiyo nchi ya vilima haitutoshi, nao Wakanaani wote wanaoishi katika tambarare wanayo magari ya vita ya chuma, wote wa Beth-Shani na miji yake, na wale walio katika Bonde la Yezreeli.”

  2. Basi Wamidiani wote, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki wakaunganisha majeshi yao, wakavuka ngʼambo ya Yordani na kupiga kambi katika Bonde la Yezreeli.

  3. Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”