Mistari ya Biblia kuhusu Jeush
Mistari muhimu ya Biblia
Nao wana wa Shimei walikuwa wanne: Yahathi, Zina, Yeushi na Beria.
Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.