Mistari ya Biblia kuhusu Jesse: Descendants of
Mistari kuhusu Descendants of
Yese akawazaa Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,
wa nne Nethaneli, wa tano Radai,
wa sita Osemu, na wa saba Daudi.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.
Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.