Mizpeh
31.1800, 35.7000 Tazama kwenye Ramani za Google
Mistari inayomtaja Mizpeh
Kutoka huko Daudi akaenda Mispa huko Moabu na kumwambia mfalme wa Moabu, “Naomba uwaruhusu baba yangu na mama yangu waje kukaa nawe mpaka nijue nini Mungu atakachonifanyia.”