Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Hosanna

2 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kisha wale waliokuwa wametangulia mbele na wale waliokuwa wakifuata nyuma wakapaza sauti, wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!”

  2. “Umebarikiwa Ufalme unaokuja wa baba yetu Daudi!” “Hosana kwake yeye aliye juu!”