Mistari ya Biblia kuhusu False Prophets: Often deceived by God as a judgment
Mistari kuhusu Often deceived by God as a judgment
“ ‘Naye nabii kama atakuwa ameshawishika kutoa unabii, Mimi Bwana nitakuwa nimemshawishi nabii huyo, nami nitaunyoosha mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza kutoka miongoni mwa watu wangu Israeli.