Mistari ya Biblia kuhusu Duty Toward The Afflicted: To protect them
Mistari kuhusu To protect them
Teteeni wanyonge na yatima, tunzeni haki za maskini na walioonewa.
Usiwadhulumu maskini kwa sababu ni maskini, wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,
wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru na kuwanyima haki zao wote walioonewa.