Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Devotedness to God

7 mistari · 32 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.

  2. Alipoendelea mbele kutoka pale, akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo mwana wa Zebedayo na Yohana nduguye, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo, wakizitengeneza nyavu zao. Yesu akawaita.

  3. Nao mara wakaiacha mashua yao, pamoja na baba yao, wakamfuata.

  4. Natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo hivi karibuni aje kwenu, ili nipate kufarijika moyo nitakapopata habari zenu.

  5. Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.

  6. Kwa maana kila mmoja anajishughulisha zaidi na mambo yake mwenyewe wala si yale ya Yesu Kristo.

  7. Lakini ninyi wenyewe mnajua jinsi Timotheo alivyojithibitisha mwenyewe, kwa maana ametumika pamoja nami kwa kazi ya Injili, kama vile mwana kwa baba yake.