Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Darkness

6 mistari · 39 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Siku ile na iwe giza; Mungu juu na asiiangalie; nayo nuru isiiangazie.

  2. Giza na kivuli kikuu kiikalie tena; wingu na likae juu yake; weusi na uifunike nuru yake.

  3. Usiku ule na ushikwe na giza kuu; usihesabiwe katika siku za mwaka, wala usihesabiwe katika siku za mwezi wowote.

  4. Usiku ule na uwe tasa; sauti ya furaha na isisikike ndani yake.

  5. Wale wazilaanio siku wailaani hiyo siku, wale walio tayari kumwamsha Lewiathani.

  6. Nyota zake za alfajiri na ziwe giza; nao ungojee mwanga bila mafanikio, wala usiuone mwonzi wa kwanza wa mapambazuko,