Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Bela: 2. King of Edom

4 mistari · 3 vipengele

Mistari kuhusu 2. King of Edom

  1. Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

  2. Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

  3. Hawa ndio wafalme waliotawala Edomu kabla hajatawala mfalme yeyote wa Waisraeli: Bela mwana wa Beori, ambaye mji wake ni Dinhaba.

  4. Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.