Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Barrenness: Sent as a judgment

2 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu Sent as a judgment

  1. Kisha Abrahamu akamwomba Mungu, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake, na watumwa wake wa kike kwamba waweze kupata watoto tena,

  2. kwa kuwa Bwana alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.