Mistari ya Biblia kuhusu Barnabas: A Levite who gave his possessions to be owned in common with other disciples
Mistari kuhusu A Levite who gave his possessions to be owned in common with other disciples
Yosefu, Mlawi kutoka Kipro, ambaye mitume walimwita Barnaba (maana yake Mwana wa Faraja),
aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.