Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Baasha

28 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

Chuja kwa kitabu
  1. Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali.

  2. Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake.

  3. Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.