Mistari ya Biblia kuhusu Andrew: Asks the Master privately about the destruction of the temple
Mistari kuhusu Asks the Master privately about the destruction of the temple
Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni mkabala na Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamuuliza faraghani,
“Tafadhali tuambie, mambo haya yatatukia lini? Nayo dalili ya kuwa hayo yote yanakaribia kutimia itakuwa gani?”