Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Andrew: Asks the Master privately about the destruction of the temple

2 mistari · 10 vipengele

Mistari kuhusu Asks the Master privately about the destruction of the temple

  1. Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni mkabala na Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamuuliza faraghani,

  2. “Tafadhali tuambie, mambo haya yatatukia lini? Nayo dalili ya kuwa hayo yote yanakaribia kutimia itakuwa gani?”