Mistari ya Biblia kuhusu Amasai: 3. A priest and trumpeter
Mistari kuhusu 3. A priest and trumpeter
Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, makuhani, walikuwa wapiga tarumbeta mbele ya Sanduku la Mungu. Obed-Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa mabawabu wa Sanduku.