Mistari ya Biblia kuhusu Agag: 2. A king of the Amalekites, taken prisoner by Saul and slain by Samuel
Mistari kuhusu 2. A king of the Amalekites, taken prisoner by Saul and slain by Samuel
Akamchukua Agagi, mfalme wa Waamaleki akiwa hai, nao watu wake wote akawaangamiza kabisa kwa upanga.
Lakini Samweli akasema, “Kama upanga wako ulivyofanya wanawake kufiwa na watoto wao, ndivyo mama yako atakavyokuwa hana mtoto miongoni mwa wanawake.” Naye Samweli akamuua Agagi mbele za Bwana huko Gilgali.