Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Absalom: Flees to Geshur

2 mistari · 10 vipengele

Mistari kuhusu Flees to Geshur

  1. Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Lakini Mfalme Daudi akaomboleza kwa ajili ya mwanawe kila siku.

  2. Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda Geshuri, akakaa huko miaka mitatu.