Mistari ya Biblia kuhusu Abinadab: 3. Called Ishui, son of Saul
Mistari kuhusu 3. Called Ishui, son of Saul
Wana wa Sauli walikuwa Yonathani, Ishvi na Malki-Shua. Jina la binti yake mkubwa lilikuwa Merabu, naye mdogo aliitwa Mikali.
Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua.