Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Abinadab: 2. Son of Jesse

2 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu 2. Son of Jesse

  1. Kisha Yese akamwita Abinadabu na kumpitisha mbele ya Samweli. Lakini Samweli akasema, “Hata huyu Bwana hakumchagua.”

  2. Wana wakubwa watatu wa Yese walikuwa wamefuatana na Sauli vitani: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Eliabu, wa pili Abinadabu, na wa tatu Shama.