Rukia maudhui

Kibroth-hattaavah

5 verses

28.9100, 34.5000 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Kibroth-hattaavah

  1. Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava, kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

  2. Kutoka Kibroth-Hataava watu wakasafiri mpaka Haserothi na kukaa huko.

  3. Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.

  4. Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.

  5. Pia mlimkasirisha Bwana huko Tabera, Masa na Kibroth-Hataava.