Skip to content

Ararat

2 verses

39.7000, 44.2900 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Ararat

  1. katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

  2. “Twekeni bendera katika nchi! Pigeni tarumbeta katikati ya mataifa! Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake, iteni falme hizi dhidi yake: Ararati, Mini na Ashkenazi. Wekeni jemadari dhidi yake, pelekeni farasi wengi kama kundi la nzige.