Rukia maudhui

Ai

31 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Hai

31.9100, 35.2600 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Ai

Chuja kwa kitabu
  1. Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai,

  2. Baada ya haya Adoni-Sedeki mfalme wa Yerusalemu alisikia kuwa Yoshua alikuwa ameteka mji wa Ai na kuuangamiza kabisa, tena alikuwa ameua mfalme wake, kama alivyofanya huko Yeriko na mfalme wake, tena ya kuwa watu wa Gibeoni walikuwa wamefanya mapatano ya amani na Waisraeli, na walikuwa wakiishi karibu yao.

  3. Yeye na watu wake wakataharuki mno kwa kuwa Gibeoni ulikuwa mji mkubwa kama mmojawapo ya miji ya kifalme; ulikuwa mkubwa kuliko Ai, nao watu wake wote walikuwa mashujaa wa vita.

  4. mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja

  5. watu wa Betheli na Ai 223

  6. watu wa Betheli na Ai 123