Rukia maudhui

Trophimus

3 mistari

Mistari inayomtaja Trophimus

  1. Paulo alikuwa amefuatana na Sopatro mwana wa Piro, Mberoya, Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonike na Gayo, mtu wa Derbe, Timotheo pamoja na Tikiko na Trofimo kutoka sehemu ya Asia.

  2. (Walikuwa wamemwona Trofimo, mwenyeji wa Efeso, akiwa mjini pamoja na Paulo wakadhani kuwa Paulo alikuwa amemwingiza Hekaluni.)

  3. Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.