Johanan
Anajulikana pia kama: Jonathan
Mistari inayomtaja Johanan
Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.
Wakuu wa jamaa miongoni mwa wazao wa Lawi hadi wakati wa Yohanani mwana wa Eliashibu waliandikishwa katika kitabu cha kumbukumbu.