Jaddua
Mistari inayomtaja Jaddua
Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.