Rukia maudhui
Zekaria 10:1-2

Mtafuteni Bwana kwa Riziki

Zekaria 10:1-2
1
Mwombeni Bwana mvua wakati wa vuli; ndiye Bwana atengenezaye mawingu ya tufani. Huwapa watu manyunyu ya mvua, pia mimea ya shambani kwa ajili ya kila mtu.
2
Sanamu huzungumza udanganyifu, waaguzi huona maono ya uongo; husimulia ndoto ambazo si za kweli, wanatoa faraja batili. Kwa hiyo watu wanatangatanga kama kondoo walioonewa kwa kukosa mchungaji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options