Skip to content
Wimbo 2:1-3

Wimbo 2:1-3

1
Mimi ni ua la Sharoni, yungiyungi ya bondeni.
2
Kama yungiyungi katikati ya miiba ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wanawali.
3
Kama mti wa mtofaa miongoni mwa miti ya msituni ndivyo alivyo mpenzi wangu miongoni mwa wanaume vijana. Ninafurahia kuketi kivulini mwa mwanaume huyu, na tunda lake ni tamu kwangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options