Rukia maudhui
Wimbo 1:12-14

Furaha na Upendo wa Pande Zote

Wimbo 1:12-14
12
Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
13
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
14
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options