Rukia maudhui
Warumi 9:27-28

Warumi 9:27-28

27
Isaya anapiga kelele kuhusu Israeli: “Ingawa idadi ya wana wa Israeli ni wengi kama mchanga wa pwani, ni mabaki yao tu watakaookolewa.
28
Kwa kuwa Bwana ataitekeleza hukumu yake duniani kwa haraka na kwa ukamilifu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options