Skip to content
Warumi 9:30-33

Warumi 9:30-33

30
Kwa hiyo tuseme nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kwa njia ya imani.
31
Lakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya sheria, hawakuipata.
32
Kwa nini? Kwa sababu hawakuitafuta kwa njia ya imani bali kwa njia ya matendo. Wakajikwaa kwenye lile “jiwe la kukwaza.”
33
Kama ilivyoandikwa: “Tazama naweka katika Sayuni jiwe la kukwaza watu na mwamba wa kuwaangusha. Yeyote atakayemwamini hataaibika kamwe.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options