Skip to content
Warumi 10:1-3

Wasiwasi wa Paulo kwa Wokovu wa Israeli

Warumi 10:1-3
1
Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maombi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya Waisraeli, kwamba waokolewe.
2
Kwa maana ninaweza nikashuhudia wazi kwamba wao wana juhudi kubwa kwa ajili ya Mungu, lakini juhudi yao haina maarifa.
3
Kwa kuwa hawakuijua haki itokayo kwa Mungu, wakatafuta kuweka haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options