Rukia maudhui
Warumi 10:11-13

Wokovu ni kwa Wote

Warumi 10:11-13
11
Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.”
12
Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.
13
Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options