Skip to content
Warumi 10:14-17

Warumi 10:14-17

14
Lakini watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Nao watawezaje kumwamini yeye ambaye hawajamsikia? Tena watamsikiaje bila mtu kuwahubiria?
15
Nao watahubirije wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, “Tazama jinsi ilivyo mizuri miguu yao wale wanaohubiri habari njema!”
16
Lakini si wote waliotii Habari Njema. Kwa maana Isaya asema, “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”
17
Basi, imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options