Skip to content
Warumi 10:11-13

Warumi 10:11-13

11
Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.”
12
Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.
13
Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options