Rukia maudhui
Ufunuo 6:3-4

Ufunuo 6:3-4

3
Alipoivunja ile lakiri ya pili, nikamsikia yule kiumbe wa pili mwenye uhai akisema, “Njoo!”
4
Ndipo akatokea farasi mwingine mwekundu sana. Yeye aliyempanda akapewa uwezo wa kuondoa amani duniani na kuwafanya watu wauane. Yeye akapewa upanga mkubwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options