Rukia maudhui
Zaburi 99:1-3

Bwana Anatawala kwa Utakatifu

Zaburi 99:1-3
1
Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
2
Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
3
Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options