Skip to content
Zaburi 98:7-9

Zaburi 98:7-9

7
Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
8
Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
9
vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options