Rukia maudhui
Zaburi 98:7-9

Uumbaji Wautazamia Hukumu ya Mfalme

Zaburi 98:7-9
7
Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
8
Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
9
vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options