Rukia maudhui
Zaburi 97:10-12

Wito wa Kupenda na Kuishi kwa Utakatifu

Zaburi 97:10-12
10
Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu, kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
11
Nuru huangaza wenye haki na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
12
Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options