Rukia maudhui
Zaburi 91:11-13

Zaburi 91:11-13

11
Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako, wakulinde katika njia zako zote.
12
Mikononi mwao watakuinua, ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.
13
Utawakanyaga simba na nyoka wakali, simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options