Skip to content
Zaburi 91:14-16

Ahadi Binafsi ya Bwana

Zaburi 91:14-16
14
Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa; nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.
15
Ataniita, nami nitamjibu; nitakuwa pamoja naye katika taabu, nitamwokoa na kumheshimu.
16
Kwa siku nyingi nitamshibisha na kumwonyesha wokovu wangu.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options