Rukia maudhui
Zaburi 91:1-2

Usalama wa Kukaa kwa Aliye Juu

Zaburi 91:1-2
1
Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana, atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.
2
Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options