Rukia maudhui
Zaburi 90:12-17

Sala ya Hekima na Rehema

Zaburi 90:12-17
12
Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri, ili tujipatie moyo wa hekima.
13
Ee Bwana, uwe na huruma! Utakawia hata lini? Wahurumie watumishi wako.
14
Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma, ili tuweze kuimba kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.
15
Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu, kulingana na miaka tuliyotaabika.
16
Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako, utukufu wako kwa watoto wao.
17
Wema wa Bwana Mungu wetu uwe juu yetu; uzithibitishe kazi za mikono yetu: naam, uzithibitishe kazi za mikono yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options