Zaburi 83:4-8
4
Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”
5
Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,
6
mahema ya Edomu na Waishmaeli, ya Wamoabu na Wahagari,
7
Gebali, Amoni na Amaleki, Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.
8
Hata Ashuru wameungana nao kuwapa nguvu wazao wa Loti.
Settings