Skip to content
Zaburi 83:2-5

Zaburi 83:2-5

2
Tazama watesi wako wanafanya fujo, jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.
3
Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako, wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.
4
Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa, ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”
5
Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja, wanafanya muungano dhidi yako,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options