Skip to content
Zaburi 80:4-7

Zaburi 80:4-7

4
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
5
Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
6
Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
7
Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options