Skip to content
Zaburi 80:1-3

Mwito na Ombi la Kurejeshwa

Zaburi 80:1-3
1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
2
mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
3
Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options